DODOMA: WAKUU WA WILAYA WATAKIWA KUZINGATIA VIAPO VYAO
Na Moreen Rojas, Dodoma. Katibu Msaidizi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kanda ya kati Dodoma Bi. Jasmini Awadhi amewataka wakuu wapya wa wilaya walioteuliwa kuheshimu na kuviishi viapo vyao walivyoviapa kwa uadilifu na uaminifu mkubwa katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku. Bi Awadhi ametoa kauli hiyo alipokuwa akitoa kiapo cha
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed