DODOMA: WAKUU WA WILAYA WATAKIWA KUZINGATIA VIAPO VYAO

Na Moreen Rojas, Dodoma. Katibu  Msaidizi  wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kanda ya kati Dodoma Bi. Jasmini Awadhi amewataka wakuu wapya wa wilaya walioteuliwa kuheshimu na kuviishi viapo vyao walivyoviapa kwa uadilifu na uaminifu mkubwa katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.  Bi Awadhi ametoa kauli hiyo alipokuwa akitoa kiapo cha